Deuteronomy 32:26-27


26 aNilisema ningewatawanya
na kufuta kumbukumbu lao
katika mwanadamu.

27 bLakini nilihofia dhihaka za adui,
adui asije akashindwa kuelewa,
na kusema, ‘Mikono yetu imeshinda;
Bwana hakufanya yote haya.’ ”

Copyright information for SwhKC